Tuesday, November 23, 2010

Watalii toka ng'ambo (Bondeni kwa Madiba) ndani ya KPub!!

 


Kiluvya Pub bwana Wee acha tuu. Hawa jamaa kwa Gafla bin Vuu wamestukiwa wametinga Pub.
Heti wanasemaje? wameona mambo yake wakiwa kwao South Africa kupitia Website hii.
Walipofika Tanzania kitu cha kwanza ni kutafuta ilipo Kiluvya Pub hadi wamefika.
wamejitambulisha kutoka kushoto JURI, ELLIS NEALL, JEEANAMEN, HENDREI VORSTER, na JASSON BOSHOFF.
Walistarehe na kucheza Muziki hadi walipoombwa radhi kwamba Muda wa kufunga umefika.
Posted by Picasa

1 comment:

Weka Maoni Yako Hapa tafadhali,Wengi tunakubaliana na kauli ya kuwa mteja ni mfalme, katika Kiluvya tunasisitiza haki na heshima kwa wafanyakazi wetu pia, huku tukiamini nasi pia tunastahili kuangaliwa kwa kasi ile ile tunayoyowaangalia wateja wetu wote.karibuni sana.