Wednesday, August 15, 2012

TP Mazembe walipopambana na Simba Uwanja wa Taifa. Mechi hiyo ndio iliyomuibua Mbwana Samata anaeonekana Lulu huko DRC kwa TP Mazembe.

 


Mambo haya yote ni kwa hisani kubwa ya wadau wote wa Kiluvya pub.
Posted by Picasa

No comments:

Post a Comment

Weka Maoni Yako Hapa tafadhali,Wengi tunakubaliana na kauli ya kuwa mteja ni mfalme, katika Kiluvya tunasisitiza haki na heshima kwa wafanyakazi wetu pia, huku tukiamini nasi pia tunastahili kuangaliwa kwa kasi ile ile tunayoyowaangalia wateja wetu wote.karibuni sana.