Wednesday, August 15, 2012

Mdau, hivi unajua asili ya Eneo unaloliona kuitwa Picha ya Ndege? Hiyo alama ya ndege unayoiona hapo ndio sababu ya kuitwa Eneo hili la Kibaha kuitwa Picha ya Ndege. Ukipita Eneo hilo iangalie utaiona.imetengenezwa na kuwekwa na Mdau mmoja Mbunifu.

 


Mambo haya yote ni kwa hisani kubwa ya wadau wote wa Kiluvya pub.
Posted by Picasa

No comments:

Post a Comment

Weka Maoni Yako Hapa tafadhali,Wengi tunakubaliana na kauli ya kuwa mteja ni mfalme, katika Kiluvya tunasisitiza haki na heshima kwa wafanyakazi wetu pia, huku tukiamini nasi pia tunastahili kuangaliwa kwa kasi ile ile tunayoyowaangalia wateja wetu wote.karibuni sana.