Wednesday, August 15, 2012

baba Paroko Padre Beno Kikudo wa parokia ya Kibaha alipoungana na Jumuiya ya Wababa ( UWAKA ) walipotijoa kupeleka Mchango wao wa kujenga Nyumba ya Mapadre unayoiona hapo chini. Sasa hivi inaandaliwa ratiba kamati ya Ujenzi itakabidhi Halmashuri ya Kigango tarehe 26 August na baadae ikabidhiwe kwa Paroko.

 


Mambo haya yote ni kwa hisani kubwa ya wadau wote wa Kiluvya pub.
Posted by Picasa

No comments:

Post a Comment

Weka Maoni Yako Hapa tafadhali,Wengi tunakubaliana na kauli ya kuwa mteja ni mfalme, katika Kiluvya tunasisitiza haki na heshima kwa wafanyakazi wetu pia, huku tukiamini nasi pia tunastahili kuangaliwa kwa kasi ile ile tunayoyowaangalia wateja wetu wote.karibuni sana.