Monday, May 14, 2012

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Mtakatifu Rafael mama Rose Mbiliny akiwasilisha mchango wao wa Milioni 6,953,100/= huku Mshereheshaji Ndugu Joseph Mmbando akishabikia. Jumuiya hii kama kawaida imeongoza kwa mara nyingine.

 


Mambo haya yote ni kwa hisani kubwa ya wadau wote wa Kiluvya pub.
Posted by Picasa

No comments:

Post a Comment

Weka Maoni Yako Hapa tafadhali,Wengi tunakubaliana na kauli ya kuwa mteja ni mfalme, katika Kiluvya tunasisitiza haki na heshima kwa wafanyakazi wetu pia, huku tukiamini nasi pia tunastahili kuangaliwa kwa kasi ile ile tunayoyowaangalia wateja wetu wote.karibuni sana.