Bi Martha Constantine Kalipeni (Kibe) Tarehe 27/10/2009 alihitimu Shahada yake ya ACCA huko London, UK. Pichani anaonekana akijiandaa kupewa Mkono wa pongezi na President wa ACCA Bwana Brendan Murtagh katika sherehe iliyofanyika Ukumbi wa Barbican Centre Jijini London.
No comments:
Post a Comment
Weka Maoni Yako Hapa tafadhali,Wengi tunakubaliana na kauli ya kuwa mteja ni mfalme, katika Kiluvya tunasisitiza haki na heshima kwa wafanyakazi wetu pia, huku tukiamini nasi pia tunastahili kuangaliwa kwa kasi ile ile tunayoyowaangalia wateja wetu wote.karibuni sana.